Breaking

Monday 21 February 2022

PICHA: UZINDUZI WA MAONESHO YA NNE YA KIMATAIFA YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MADINI



Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko pamoja na Waziri wa Nishati na Madini wa Burundi, Mhe. Ibrahimu Uwizeye wamezindua Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Uwekezaji katika Sekta ya Madini yanayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini unaotarajiwa kuanza mapema kesho tarehe 22 hadi 23 Februari, 2022. Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko pamoja na Waziri wa Nishati na Madini wa Burundi, Mhe. Ibrahimu Uwizeye wakitembelea banda la Kampuni ya TANZGraphite katika Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Uwekezaji katika Sekta ya Madini yanayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini unaotarajiwa kuanza mapema kesho tarehe 22 hadi 23 Februari, 2022.


Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko pamoja na Waziri wa Nishati na Madini wa Burundi, Mhe. Ibrahimu Uwizeye wakitembelea banda la Kampuni ya FARU Graphite Corparation katika Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Uwekezaji katika Sekta ya Madini yanayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini unaotarajiwa kuanza mapema kesho tarehe 22 hadi 23 Februari, 2022. Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko pamoja na Waziri wa Nishati na Madini wa Burundi, Mhe. Ibrahimu Uwizeye wakitembelea banda la Kampuni ya SHANTA GOLD katika Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Uwekezaji katika Sekta ya Madini yanayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini unaotarajiwa kuanza mapema kesho tarehe 22 hadi 23 Februari, 2022.


Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko akizungumza jambo na Waziri wa Nishati na Madini wa Burundi, Mhe. Ibrahimu Uwizeye katika Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Uwekezaji katika Sekta ya Madini yanayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini unaotarajiwa kuanza mapema kesho tarehe 22 hadi 23 Februari, 2022.


Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko pamoja na Waziri wa Nishati na Madini wa Burundi, Mhe. Ibrahimu Uwizeye wakitembelea banda Tume ya Madini katika Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Uwekezaji katika Sekta ya Madini yanayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini unaotarajiwa kuanza mapema kesho tarehe 22 hadi 23 Februari, 2022. Baadhi ya Wananchi wakitembelea banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Uwekezaji katika Sekta ya Madini yanayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini unaotarajiwa kuanza mapema kesho tarehe 22 hadi 23 Februari, 2022.


(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages