Breaking

Friday 10 June 2022

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO IJUMAA JUNI 10, 2022


Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya vipindi vya upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa ya hadi Mita 2 vinatarajiwa katika baadhi ya Mikoa iliyopakana na habari ya Hindi ikiwemo Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Lindi na Mtwara.

Pia vipindi hivyo vya upepi vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo ya Ziwa nyasa katika mikoa ya Ruvuma na Njombe.

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages