Breaking

Wednesday 21 September 2022

LIVE: BALOZI WA TANZANIA NCHINI UBELGIJI ANAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MUDA HUU

 

 Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji , Balozi Jestas A. Nyamanga anazungumza mubashara na vyombo vya habari vya Tanzania kupitia mtandao wa Zoom LEO: 21/9/ 2022, saa 5 Asubuhi kwa Saa za Tanzania.


Jinsi ya Kushiriki:


Bofya ~ bit.ly/3Bws5qz

Au tumia


Meeting ID: 828 7457 2432


Passcode: 435906


Waandishi wa habari wote mnakaribishwa.

Mawasiliano: +255734052138

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages