Breaking

Monday 26 September 2022

LIVE: MJADALA WA KITAIFA: FAIDA ZA ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI MSUMBIJI

 
 Watch Tanzania inakualika kushiriki Mkutano maalum unakaofanyika leo Septemba 26, 2022 (Jumatatu) kuanzia saa 5 kamili asubuhi hadi saa 7:30 mchana

Mada; Mjadala wa kitaifa juu ya Faida za Ziara ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan nchini Msumbiji

Muda ukifika utaweza kushiriki mkutano moja kwa moja kwa kubofya ~shorturl.at/eIQR2

Au kupitia

Meeting ID: 822 6760 9454

Passcode: 673330


Mkutano huu unarushwa mubashara Youtube) kupitia EATV, Millard Ayo, Uhondo TV, Bongo 5, Clouds Digital, Global TV Online, , Gilly Bony TV, TBC Online, Mwanahalisi Digital, Mwananchi Digital, EFM Digital, Star TV, Saangapi TV, Mirror TV, MBI MEDIA, Lango la Habari, Mwanahabari Digital.

Mkutano huu umedhaminiwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) na Mtandao wa Simu wa Airtel - Tanzania
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages