Breaking

Saturday 8 October 2022

LIVE: MJADALA WA KITAIFA: FURSA ZA KIUCHUMI ZINAZOPATIKANA MIKOA YA SHINYANGA, SINGIDA NA TABORA

 
 Watch Tanzania inakualika kushiriki Mkutano maalum unaofanyika Oktoba 08, 2022 (Jumamosi) kuanzia saa 5 kamili asubuhi hadi saa 7:30 mchana

Mada; Mjadala wa kitaifa juu ya Maendeleo na Fursa za Kiuchumi zinazopatikana mikoa ya Shinyanga, Singida na Tabora

shiriki mkutano moja kwa moja kwa kubofya ~https://bit.ly/3ruO6Bs

Au kupitia

Meeting ID: 838 5356 8564

Passcode: 501287


Mkutano huu utarushwa mubashara (Youtube) kupitia EATV, Millard Ayo, Uhondo TV, Bongo 5, Clouds Digital, Global TV Online, , Gilly Bony TV, TBC Online, Mwanahalisi Digital, Mwananchi Digital, EFM Digital, Star TV, Saangapi TV, Mirror TV, MBI MEDIA, Lango la Habari, Mwanahabari Digital, Tughembe TV online, Daily News Digital, ITV na Azam TV.



Mkutano huu umedhaminiwa na Benki ya Biashara Tanzania (NMB) na Mtandao wa Simu wa Airtel - Tanzania
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages