Breaking

Friday 11 November 2022

GST YAENDELEA KUKUSANYA TAARIFA UWEPO WA MADINI - MAHENGE



Timu ya wataalam wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) leo Novemba 11 , 2022 imeendelea kukusanya taarifa za uwepo wa madini katika maeneo mbalimbali ya uchimbaji madini kwa lengo la kuandaa ramani maalum itakayoonesha aina za madini mbalimbali katika Mkoa wa kimadini Mahenge kama ilivyoagizwa na Waziri mwenye dhamana Katika sekta ya Madini nchini.

Ramani na taarifa za uwepo wa madini itatumika kuvutia uwekezaji ndani ya Wilaya ya Mahenge/Ulanga.








Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages