Breaking

Saturday 10 December 2022

BARBARA ATANGAZA KUJIUZULU SIMBA SC



Barbara Gonzalez leo ameandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake kama Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba kuanzia January mwakani.





Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages