Breaking

Sunday 1 October 2023

RAIS SAMIA AMTEUA MATINYI KUWA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhe. Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kupitia taarifa iliyotolewa leo Jumapili Oktoba 01, 2023 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu Zuhura Yunus imeeleza kuwa Kabla ya uteuzi huo Bw. Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.

Uteuzi huu unaanza mara moja
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages