Breaking

Friday 1 December 2023

MTAYARISHAJI WA MUZIKI MASTERKRAFT AREJEA TENA MAJEED & JOEBOY

Mtayarishaji mahiri wa muziki kutoka nchini Nigeria Masterkraft ameingia studio tena na Majeed pamoja na Joeboy.

Baada ya muda mrefu kufanya vizuri na ngoma yake iitwayo Hosanna akiwa ameshirikiana na msanii Chike Masterkraft ameendelea kuwa na uchaguzi bora wa nani amshirikishe kwenye kazi zake.

Kwa mara nyingine Masterkraft ameachia ngoma yake mpya iitwayo FRUIT akiwa amewashirikisha Majeed na Joeboy.

Inapatikana katika mitandao yake yote ya kusambaza na kusikiliza muziki pamoja na unaweza kuwafatilia katika mitandao yao yote ya kijamii.

 
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages