Breaking

Friday 29 April 2022

TAMASHA KUBWA LA WAJASILIAMALI KANDA YA ZIWA KUFANYIKA KAHAMA


Tamasha kubwa la wajasiliamali na kuhamasisha Sensa Kanda ya ziwa linatarajiwa kufanyika Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga kuanzia May 09, 2022 hadi May 15, 2022.


Tamasha hilo litatoa fursa mbalimbali ikiwemo maonesho ya biashara, fursa za uwekezaji kwa vijana pamoja na utalii wa ndani kupitia Filamu ya The Rour Tour.


Endelea kufuatilia Lango la habari kwa taarifa zaidi 

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages