Breaking

Saturday 16 July 2022

HATIMAE NANDY NA BILLNASS WAFUNGA NDOA, TAZAMA PICHA HAPA



Msanii William Lyimo maarufu Billnass na nyota wa muziki wa Bongofleva Faustina Mfinanga maarufu Nandy wamefunga ndoa.

Wawili hao wamefunga pingu za maisha leo Julai 16, 2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Billnass na Nandy ni wapenzi wa muda mrefu na siku za hivi karibuni waliutangazia umma kuwa muda si mrefu watakuwa wazazi baada ya kupost picha zikimuonyesha Nandy akiwa mjamzito.

Picha: Clouds Digital





























Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages