Breaking

Thursday 15 September 2022

RATIBA YA KUKATIKA UMEME KWA BAADHI YA MAENEO NCHINI KUANZIA SEPT 15, HADI SEPT 18, 2022




Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limetoa ratiba ya kukosekana kwa umeme, kwenye baadhi ya maeneo nchini, kuanzia Alhamisi hadi Jumapili Septemba 2022.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages