Breaking

Monday 3 October 2022

LIVE: MJADALA WA KITAIFA: JITIHADA ZA JESHI LA POLISI KUDHIBITI PANYA ROAD MIKOA YA DAR ES SALAAM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA NA DODOMA



Watch Tanzania inakualika kushiriki Mkutano maalum utakaofanyika Oktoba 03, 2022 (Jumatatu) kuanzia saa 5 kamili asubuhi hadi saa 7:30 mchana

Mada; Mjadala wa kitaifa juu ya Hali ya Kiusalama na Jitihada za Jeshi la Polisi katika kudhibiti Panya Road katika Mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Arusha na Dodoma

Muda ukifika (Saa 5 kamili asubuhi, Oktoba 03, 2022 - (Jumatatu) utaweza kushiriki mkutano moja kwa moja kwa kubofya ~ https://bit.ly/3RqUjbW

Au kupitia

Meeting ID: 879 7295 1302

Passcode: 286228

Mkutano huu utarushwa mubashara (Youtube) kupitia EATV, Millard Ayo, Uhondo TV, Bongo 5, Clouds Digital, Global TV Online, , Gilly Bony TV, TBC Online, Mwanahalisi Digital, Mwananchi Digital, EFM Digital, Star TV, Saangapi TV, Mirror TV, MBI MEDIA, Lango la Habari, Mwanahabari Digital, Tughembe TV online, Daily News Digital, ITV na Azam TV.

Mkutano huu umedhaminiwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania na Mtandao wa Simu wa Airtel - Tanzania
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages