Breaking

Saturday 24 December 2022

WAZIRI NAPE ATEUA WAJUMBE WA BODI SHIRIKA LA POSTA




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya shirika la Posta Tanzania, Brigedia Mstaafu Yohana Ochalla Mabongo. Kufuatia uteuzi huo Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amefanya Uteuzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika hilo leo 24/12/22.



Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages