Breaking

Friday 15 March 2024

DKT. NCHIMBI AENDESHA KIKAO CHA SEKRETERIETI YA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiendesha Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichoketi Alhamis, Machi 14, 2024, Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages