Breaking

Sunday, 27 February 2022

LIVE : RAIS SAMIA AKISHIRIKI KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI, DUBAI




TAZAMA HAPA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Biashara na Uwekezaji na kushuhudia Utiaji saini wa Mikataba kati ya Serikali na Wawekezaji, kati ya Sekta Binafsi na Wawekezaji inayofanyika  Jumeira Beach Resort Dubai leo tarehe 27 Februari, 2022.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages