Na Samir Salum
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bi.Zuhura Yunus leo Jumapili Februari 27,2022 kutokea Dubai amesema kuwa Brigedia Jenerali Yohana Ocholla Mabongo ni Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA katika Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
Uteuzi wa Brigedia Jenerali Yohana Ocholla Mabongo umeanza Februari 24,2022.