Breaking

Monday 20 June 2022

NAIBU WAZIRI WA MADINI AKUTANA NA KAMPUNI YA NOBLE HELIUM INAYOTAFITI GESI


Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amekutana na kuzungumza na Meneja wa Kampuni ya Noble Helium Joseph Uisso inayofanya utafiti wa gesi ya Helium katika maeneo ya Bonde la Ziwa Rukwa, Eyasi, Nyasa na Manyara.


Dkt. Kiruswa amekutana nao leo Juni 2022, katika kikao kifupi kilichofanyika katika ukumbi wa wizara Jijini Dodoma.

Katika kikao hicho, Dkt. Kiruswa na uongozi wa Kampuni ya Noble Helium wamezungumzia kuhusu maendeleo ya shughuli za utafiti zinazoendelea katika maeneo hayo. 


Aidha ameahidi kushughulikia changamoto zote walizonazo  mapema.






Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages