Breaking

Wednesday 24 August 2022

WALIOIBA VISHIKWAMBI VYA MAKARANI WA SENSA WATAKIWA KUJISALIMISHA


Tazama HAPA CHINI 

 

Wakati sensa ya Watu na Makazi ikiendelea nchini, makarani wawili wamejikuta katika wakati mgumu baada kuporwa vifaa vyao vya kukusanyia taarifa maarufu kama vishikwambi na vibaka.


Tukio la kwanza limetokea jijini Arusha ambapo karani aliyetambuliwa kwa jina la Saraphia Kiwango ameporwa kishikwambi chake alipokuwa akielekea kuanza kuhesabu makundi maalum katika Kata ya Unga Ltd jijini Arusha huku mumewe akijeruhiwa kichwani na vibaka waliokuwa kwenye bodaboda.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages