Breaking

Wednesday 14 December 2022

BIBI TITI MEMORIAL FESTIVAL NI LEO UWANJA WA UJAMAA RUFIJI, HII HAPA LIST YA WASANII




Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Rufiji chini ya Mheshimiwa Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa inakuletea Bibi Titi Memorial Festival kuanzia Desemba 14 hadi 15,2022 katika Uwanja wa Ujamaa Rufiji.
























Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages