Breaking

Monday 22 May 2023

MAONESHO YA TVET NI FURSA KWENYE AJIRA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi maonesho ya Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi jijini Arusha leo 22 Mei, 2023.

Akiwa kwenye ufungaji wa maonesho hayo amesema kuwa elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi yanasaidia vijana kupata ujuzi wa kazi mbalimbali za kiufundi na kukuza ajira.

Amewataka washiriki kuendelea kutumia fursa hii hasa vijana kwa kuwa ni sehemu muhimu ya kujifunza na kupata uelewa katika sekta ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages