Breaking

Monday 25 March 2024

UBORESHAJI MIUNDOMBINU YA MAJI MIVUMONI







Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) Mkoa wa kihuduma Mivumoni wakiendelea na kazi ya uchimbaji na ulazaji wa bomba yenye ukubwa wa inchi 12 kwa umbali wa Kilomita 2.

Kukamilika kwa kazi hii kutaboresha huduma ya maji kwa kuongeza msukumo kwa wakazi wa maeneo ya Usukumani, Goba Maghorofani, Tatedo, pamoja na Kinzudi kwa kuwapatia huduma bora ya maji na yakutosheleza.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages