Breaking

Friday 12 April 2024

USOMAJI MITA SHIRIKISHI UNAENDELEA KIBAHA

Mamlaka ya majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) inaendelea na zoezi la usomaji wa mita za Maji kwa kushirikiana na wateja ambapo watumishi wa Mkoa wa kihuduma DAWASA Kibaha wanatekeleza zoezi hilo kwa vitendo.

DAWASA inatoa rai kwa wateja wote wa Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kutoa ushirikiano kwa watumishi pindi wanapopita katika makazi yenu wakati zoezi hilo likiendelea.

Kwa msaada wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja namba *0800110064*(Bure) na *0735-202121* WhatsApp tu.







Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages