Breaking

Tuesday 14 May 2024

ZOEZI LA USOMAJI MITA TABATA

 


Usomaji mita za Maji shirikishi kati ya Mamlaka na Mteja unaendelea kutekelezwa katika maeneo na mitaa mbalimbali katika Mkoa wa kihuduma DAWASA Tabata 

DAWASA inatoa rai kwa Wateja wote kutoa ushirikiano kwa wasoma mita wanaopita katika makazi ya watu na zoezi litakamilika Mei 20, 2024.

Kwa msaada zaidi wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja namba 0800110064 (Bure) na 0735-202121 WhatsApp tu.


Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages